KINGAZI BLOG: July 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, July 31, 2016

‘Matiti ya Kajala, Dawa za Kichina zinahusika’

Baada ya gumzo kubwa kuibuka juu ya muonekano mpya wa matiti ya msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, shostito wake wa karibu amemwaga ubuyu kuwa, dawa za kuongeza matiti za Kichina zinahusika. Akipigia stori na Ijumaa hivi karibuni, mtoa ubuyu wetu ambaye aliomba hifadhi ya jina lake alisema kuwa, huko nyuma matiti ya Kajala yalikuwa ‘ndala’ akawa anatumia dawa f’lani za kupaka ili kuyafanya...

SUPER STAR DIAMOND PLATINUMS KUTOKA NA HAMISA MOBETO MAPYA YAIBUKA,PICHA NYINGINE ZAVUJA,ZAZUA UTATA MKUBWA,ZARI THE BOSS LADY NAYE YUMO

Gossip Diamond Platnumz accused of sleeping with hamisa and zari at the same room in South Africa, this gossip has made headline Today after this photo been discovered. as you see by yourself, same  location and same room, as you know that few weeks ago Diamond Platnumz was accused of dating Hamisa Mobeto. But Diamond Platnumz refuse that accusation and show the public that he loves her wife...

(PICHAZ+) MPENZI MPYA WA R.KELLY MWENYE MIAKA 19

&nbs...

MREMBO JOKATE AFUNGUKA MENGI TENA KUHUSU ALI KIBA, SOMA HAPA

Msanii na mwanamitindo Jokate Mwegelo amefunguka na kumwaga sifa za kutosha kwa msanii Alikiba na kusema kuwa ni msanii huyo ni mfalme ila hana mbwembwe kama wasanii wengine. Jokate alitumia ukurasa wake wa Instagram kumwaga sifa hizo na kudai kuwa akiwa amenuna akisikia sauti ya Alikiba anajikuta anafurahi kwani anavutiwa sana na sauti hiyo.“Alikiba ni King wa kutoa ngoma baada ya ngoma, King asiye...

Picha 9: Rais Magufuli alivyoendelea na ziara yake Igunga na Nzega Tabora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana July 30 2016 ameendelea na ziara yake katika Mkoa wa Tabora akitokea Mkoa wa Singida. Mkoani Tabora, Rais Magufuli alizungumza na wananchi waliosimamisha msafara wake katika vijiji vya Nanga na Ziba na alifanya mikutano ya hadhara Igunga na Nzega ambako amewahakikishia wananchi kuwa serikali yake itahakikisha inatekeleza ahadi...

MSANII SABBY ANGEL ASEMA KWA MAUNO YANGU HAKUNA ANAYENIFIKIA .

Mduara, Sabrina Omary ‘Sabby’. Msanii wa filamu ambaye hivi sasa amejiingiza kwenye Muziki wa Mduara, Sabrina Omary ‘Sabby’ amefunguka kwamba anajiamini linapokuja suala la kukata viuno kiasi kwamba haoni msanii wa kike wa kumfunika. Sabby ambaye ametoa kibao kinachokwenda kwa jina la Inahusu amesema anajua uwezo wa kuimba anao, ukijumlisha na uwezo wake wa kukata nyonga kana kwamba hana mfupa...

MREMBO FAIZA ALLY ATUPIA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI JIONEE MWENYEWE

...

Maaajabu! !!!MTOTO WA MIAKA 11 ALIPO ONYESHA USHUJAA WA AJABU SIKU CHACHE KABLA YA KIFO CHAKE SOMA HAPA LIVE!!

"Mwili kwenye toroli la wagonjwa uliozungukwa na madaktari ni wa mtoto mwenye umri wa miaka 11 aitwae Liang Yaoyi tokea China. Utaelewa kwanini madaktari wameuzunguka kama wakiusudujia.Liang alikuwa na ndoto za kuwa daktari atakapokua mkubwa, bahati mbaya ndoto yake haijaweza kutimia kwani alifariki kwa ugonjwa uitwao kitaalamu "Brain Tumor". Ila kinachoshangaza ni kile alichowaambia wazaz wake...

Magazeti ya Tanzania leo tar 31 Julai kwenye headlines za kitaifa,kimataifa na michezo.

Karibu, Tunakuletea headlines za magazeti ya Tanzania, leo jumapili ya tarehe 31 Julai 2016   ...

BABA ACHORA TATOO YENYE PICHA YA MWANAE USONI

...

Saturday, July 30, 2016

Wezi wa Umeme Waendelea Kukamatwa

Shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Kinondoni limeendelea kuwakamata wananchi wanaotumia umeme wa wizi kujiunganishia umeme kinyume cha sheria pamoja na kuwekewa mita za Luku na Vishoka ambao siyo watumishi wa Shirika hilo. Katika eneo la Mbezi jijini Dar es salaam, Mfanyabiashara wa Chakula Mariam Mjema amejikuta matatani baada ya kubainika kuwa mita ya Luku aliyowekewa ilikuwa ya wizi na haina kumbukumbu...

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi siku 23 tangu amteue

...

Taarifa Ya Bunge Kwa Umma Kuhusu Kamati Za Bunge

...

Lil wayne aipaisha kwa hotuba ya Clinton

Mashabiki wa mwanamuziki wa Marekani Lil Wayne wamekuwa wakidai kwamba huenda maneno ya wimbo wa msanii huyo yalitoa msukumo kwa hotuba ya bi Hillary Clinton. "When there are no ceilings, the sky's the limit," {Iwapo hakuna paa la nyumba basi ,kikomo ni mbingu},Clinton aliliambia kongamano la chama cha Democrat. Alikuwa akizungumza baada ya kukubali tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Democrat. Mashabiki...
 

Gallery

Popular Posts

About Us