KINGAZI BLOG: March 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, March 31, 2016

MABEST FT BARAKA DAR PRINCE - MACHO KWA MACHO(NAKUCHANA LEO)(AUDIO)

...

Ringtone ft Christina Shusho - Tenda Wema (Official Video)

...

New AUDIO | Alice Kella - NIMEKUCHAGUA | Download

...

Bomba la Mafuta Kuokoa Zaidi ya Shilingi Trilioni moja

  Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limesema Uganda itachagua kupitishia mradi wake wa bomba la mafuta Tanzania kwa sababu ni nafuu kwa Dola 500 milioni za...

UMOJA WA ULAYA WAZIDI KUSITISHA MISAADA KWA TANZANIA.

Nchi 10 kati ya 14 za umoja wa Ulaya zimetangaza kusitisha ufadhili wao kwa bajeti ya serikali ya Tanzania....

SAKATA LA RUSHWA; WABUNGE WATATU WA TANZANIA WAFIKISHWA KIZIMBANI.

...

New AUDIO | YAMOTO BAND - NIGANDE | Download

...

WATUMISHI HEWA SERIKALINI;WAKUU WA MIKOA WAWASILISHA RIPOTI YA IDADI YA WATUMISHI HEWA,MWANZA YAONGOZA,

Hatimaye wakuu wa Mikoa yote nchini wametii agizo la Rais John Magufuli lilokuwa linawataka wasilishe ripoti ya idadi ya watumishi hewa kwenye mikoa husika....

MAGAZETI YA TANZANIA LEO ALHAMIS,MACHI 31,2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,UDAKU,MICHEZO NA STORY NYINGINE KALI.

  ...

EgyptAir: Abiria apiga selfie na mtekaji wa ndege ya misri.

Selfie ya Egyptair Mtu aliyepiga picha na mtekaji wa ndege ya kampuni ya EgyptAir aliyevalia mkanda bandia wa mlipuaji wa kujitolea muhanga amesema kuwa alitaka kuuona vizuri ukanda hu...

Mtekaji nyara wa ndege ya misri awekwa rumande Cyprus.

Mtekaji nyara awekwa rumande Cyprus Mwanaume aliyejisalimisha kwa polisi wa Cyprus baada ya kuteka nyara ndege ya Egypt Air amefikishwa mahakaman...

Mara wapewa siku 21 kuhakiki silaha zao.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo MKUU wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo ametoa muda wa wiki tatu kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria wazisalimishe polisi au kwenye ofisi za serikali na baada ya muda huo...

Wednesday, March 30, 2016

J.MARTINS FT JOSE CHAMELEONE & WAJE - FEELING YOU(AUDIO)

...

YEMI ALADE - NAKUPENDA(AUDIO)

...

Waliompiga Daktari Mkoani Mtwara Wakamatwa Wakijiandaa Kutoroka Kwenda Nje ya Nchi

Kufuatia tukio la ndugu wa mgonjwa  kumpiga Daktari Mkoani Mtwara, tayari jeshi la Polisi Mkoani humo linawashikilia watu kadhaa kwa kitendo hicho cha kumpiga Daktari wakati akiwa katika majukumu yake ya kikazi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara,Henry Mwaibambe (Pichani) amese...

Wafanyakazi watatu TANESCO Watiwa Mbaroni Kufuatia Kifo cha Mfanyakazi Mwenzao Aliyenaswa na Umeme Juu ya Nguzo

Wafanyakazi watatu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani Morogoro, wanashikiliwa na Polisi wakihojiwa kutokana...

Mpya Kuhusu Ajira za Walimu na Nyinginezo...Wenye Vyeti Zaidi ya Kimoja Kutopangiwa Kituo cha Kazi Serikalini.

...

RAIS MAGUFULI ATUA MWANZA NA KUFIKA KIJIJINI KWAKE,AWATAKA WATANZANIA KUFANYA KAZI KWELI KWELI ILI KUEPUKA MISAADA YA WAFADHILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefika nyumbani kwake katika kijiji cha Mlimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa Rais, ambapo akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari Chato, ametoa wito kwa kila mtanzania kuchapa kazi kwa juhudi ili nchi iondokane na utegemezi...

HAYA HAPA MAGAZETI YA TANZANIA YALOCHOANDIKA LEO JUMATANO,MACHI 30,2016.KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA UDAKUNA MICHEZO.

March 30 2016 nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysas... ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us