Hii ndiyo mashine ya kusimamishia matiti na hapa ipo kutumika
Hii
 sayansi na teknologia sasa inatupeleka pabaya. Hivi karibuni wataalam 
toka china wameleta mashine maalumu ya kunyanyua matiti (yawe na 
muonekano wa saa 6) ambayo itawasaidia kina dada/mama wenye maziwa 
yaliyoanguka au kusinyaa kuwa na muonekano mzuri. Huduma hii imeshaanza 
kutolewa hapa nchini maeneo ya sinza.Hivi hawa wachina wanatutakia mema 
kweli?, Je wanaweka wazi madhara yanayoweza kuwapata baadae hao 
watakaonyanyua matiti yao?, je shughuli hii ina tija kwa watanzania?
Baadhi ya maoni ya watanzania juu ya mashine hii;
1. Hii ni hatari kama hatutakuwa makini,mishipa imepungua nguvu alafu unaisimamisha kwa nguvu'CHUNGA SANA.
2.
 Dada zangu tuwe makini na hizi mashine zinazokuja,baada ya urembo 
kinachofuata ni kansa.tujiulize mara mbili kabla ya kwenda huko
3.
 Utakuta mdada mzima, anajua kuwa tayari 'malapulapu yameshatamalaki, 
yeye anavaa suruali yake na kitop chake halafu bila sidiria huyooooo 
anaingia mtaani..........yaani unamuangalia unajiuliza hivi huyu hana 
mp3nzi amwambie walau avae sidiria? Halafu utakuta anadai eti ana gundu 
mbona hatokewi! nani akutokee wakati mtu akikuangalia tu 'hamu' yote 
inaisha!
4.
 Kutokujiamini tu, kam kupendwa utapendwa tu hata kam una malapa 
kifuani.Na mbona mazoezi yanasaidia sana? Unaweza ukatengeneza mwili 
vizuri tu kwa kufanya mazoezi
Titi
 la mwanamke huyu likiwa limeharibika kutokana na kansa, ambapo madawa 
mbalimbali na vifaa vya urembo wa wanawake husababisha ugonjwa huu.

