KINGAZI BLOG: August 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, August 28, 2016

Serikali yatangaza Kiama kwa Majambazi

Serikali imesema imejipanga vilivyo kuhakikisha inawalinda raia na mali zao na kwamba watakao bainika kujihusisha ama kuunga mkono vitendo vya uhalifu ukiwemo ujambazi pamoja na kulibeza jeshi la polisi, watachukuliwa hatua kali. Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na maafisa wa jeshi la polisi ,uhamiaji,magereza na vyombo vingine vya ulinzi na usalama usalama,katika...

66 walazwa kwa kunywa togwa harusini

Wakazi 66 wa Kijiji cha Lyangweni wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, wamelazwa katika zahanati kwa matibabu baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu. Afya za watu hao waliokuwa kwenye sherehe ya harusi zilibadilika ghafla juzi usiku, baada ya kuanza kuharisha na kutapika kabla ya kuwahishwa katika zahanati hiyo kutibiwa. Hilo ni tukio la pili kutokea katika eneo hilo ndani ya miaka miwili baada...

Hebu ona haya!! MWANAUME ABEBA MAITI YA MKEWE BEGANI KWA ZAIDI YA KM 12.

Mwanamume mmoja nchini India inasemekana hakuwa na uwezo kifedha ili kuweza kusafirisha maiti ya mkewe kwa kutumia gari ya kubebea wagonjwa hadi kijijini kwao na hivyo ikambidi kuibeba maiti ya mkewe kwa umbali wa zaidi ya kilomita 12, kutoka hospitali aliyofariki, kwani ilishindwa kumsafirisha kwa gari la kuwabebea wagonjwa hadi kijiji mwake. Mke wa Dana Mjhi, Amang, mwenye umri wa 42, alilazwa...

HII NDO OFFICE YA MKE WA MENGI JACQULINE NTUYABALIWE

Anaitwa Jacqueline Ntuyabaliwe aka K-Lynn Miss Tanzania 2000 na Mwanamuziki, Mke wa Bilione Reginald Mengi. Nimekutana na Comments Mbali mbali Instagram Baada ya Picha hii kuzagaa mitandaoni leo hii embu na wewe jisomee baadhi ya comments kutoka Instagram; fetttyy  Huyo ndo boss lady Africa nzima ndo hapigi kelele wala kujionyesha onyesha anajua anazo lakini hawa visokorokwinyo wengine ngachoka...

Chocolate Zinavyohusishwa na ‘Uwezo wa Akili’ Kwa Wanafunzi Darasani

Wakati wazazi wengi nchini wakihaha kudhibiti ulaji holela wa vitu vitamu kwa watoto wao ili kuimarisha afya ya kinywa. utafiti mpya wa hivi karibuni umeibuia mapya baada ya kubainika kuwa ulaji mzuri wa chocolate unaweza kuongeza uwezo wa kufikiri na hivyo kutoa fursa kwa watoto kufanya vizuri darasani. Aidha, utafiti huo umebaini vilevile kuwa ulaji wa chocolate husaidia kupunguza kasi ya kawaida...

53 mbaroni wakidaiwa kufanya matukio ya ugaidi Kilindi

Tanga. Watuhumiwa 53 wa matukio yenye viashiria vya ugaidi yaliyotokea wilaya za Kilindi na Amboni mkoani Tanga, wapo katika mahabusu za magereza wakisubiri michakato ya kusikilizwa kesi zao pamoja na hukumu. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba amesema juzi kuwa idadi hiyo inajumuisha watuhumiwa waliokamatwa mwaka juzi Kilindi na wengine waliohusishwa na matukio ya uhalifu...

Mwimbaji Ruby Akimbilia EFM Radio Baada ya Ugomvi wa Maslahi Kati ya Mwimbaji Huyo na Clouds FM

Mwimbaji Ruby ambae alikuzwa na kulelewa na Clouds FM Baada ya Kufanya vizuri katika mashindano ya Fiesta Diva Nyota miaka kadhaa iliyopita amejikuta katika ugomvi wa kimaslahi na walezi wake Clouds FM baada ya kushindwana malipo katika Matamsha ya Fiesta yanayoendelea hivi sasa.. Ruby kwa sasa inaonekana amekimbili kwa washindani wa Clouds FM ambani ni EFM Radio, Radio hiyo mpya ambayo ni washindani...

LA HAULAH!!! MUME AKIRI KUMCHINJA MKEWE

Naveen Ahmed anatarajiwa kuhukumiwa kwa mauaji  Mwanamume mmoja amekiri kumchinja na kisha kumkatakata mkewe katika nyumba yao mjini LondonNaveed Ahmed, mwenye umri wa miaka 41, alikiri makosa yake ya kumuua mkewe ambaye ni mama wa watoto wake wawili, Tahira Ahmed, 38. Mwili wa Bi Ahmed ulipatikana na polisi tarehe 27 mwezi Mei baada ya majirani kuripoti kwamba walisikia wawili hao wakigombana.Uchunguzi...

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutengeneza Kipato Kupitia Mitandao Ya Kijamii

Mwaka jana tuliandaa semina kwa njia ya mtandao ambapo tulitoa elimu ya jinsi ya kutengeneza kipato kwenye mtandao kwa kutumia blog. Baadae tulitoa kitabu ambacho kiliendelea kutoa elimu hii ya kumwezesha mtu yeyote kutengeneza biashara yake kupitia mtandao kwa kuw ana blog ambayo inatoa elimu fulani watu wanayohitaji. Watu wengi wamejipatia kitabu hiki na wengi wamefungua blog zao ambazo sasa zimeshaanza...

BAADA YA DAVIDO WIZKID NAYE APATA DILI LA KUFANYA KAZI KAMPUNI YA SONI MUSIC

Baada ya January mwaka huu mkali kutoka Nigeria Davido kutangazwa kupata deal la kusaini mkataba na kampuni kubwa ya muziki Duniani Sony Music Worldwide sasa ni zamu ya Wizkid. Kwa mujibu wa TheNETng ni Exclusive mkali Wizkid anaenda kusaini mkataba wa kimataifa na kampuni ya Sony Music Worldwide muda wowote kuanzia sasa. Hatua hiyo itakuwa ni muendelezo wa harakati za msanii Wizkid katika kuufikisha...

PICHAZ + INASHANGAZAA!!! MTOTO ALIYENENEPA ZAIDI DUNIANI ARUDI SHULENI BAADA YA KUPUNGUZA UZITO

Mtoto wa miaka 10 kutoka Indonesia, ambaye ametajwa kuwa mtoto aliyenenepa zaidi duniani alianza kupewa chakula cha kupunguza uzito Arya Permana ameorodheshwa kuwa na unene usio wa kawaida kwa kuwa alikuwa na uzani wa kilo 188. Mtoto huyu hatimaye ameweza kurudi shuleni baada ya kupunguza uzito wa kutosha wa kumwezesha yeye kutembea kwani siku zote alikuwa akillala na hakuweza kutembea na kusababisha...

SABABU ZA JPM KUMTEUA DKT KILIMBA KUWA DG WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA

Tarehe 24 mwezi huu, Rais Dokta John Magufuli alimteua Dokta Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu (DGIS) wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS). Uteuzi huo umefanyika kufuatia kustaafu kwa mkurugenzi aliyemaliza muda wake, Othman Rashid. Makala hii inajikita katika uchambuzi wa uteuzi huo kwa kuangalia changamoto na fursa zinazomkabili kiongozi huyo mkuu wa taasisi hiyo nyeti kabisa. Kwa mtizamo...

Chadema wadaiwa kuhonga vijana Sh 40,000 kuelekea siku ya UKUTA

POLISI Kanda ya Dar es Salaam imekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwalipa fedha kiasi cha Sh 40,000 baadhi ya vijana ili washiriki katika maandamano ya Ukuta ya Septemba Mosi yaliyopigwa marufuku. Aidha, imesisitiza imejipanga kikamilifu kukabiliana na watu watakaovunja sheria kwa kufanya maandamano hayo ambayo yamepigwa marufuku kwa lengo la kutaka kuvuruga amani ya nchi. Kauli...

WEMA SEPETU YAMEMSHINDA,AAMUA KUJIRUDI KWA IDRISS,CHECK ALICHOMFANYIA IDRISS SULTAN

Uhusiano wa Wema Sepetu na Idris Sultan unaanza kutukumbusha ule wa Chris Brown na Karrueche Tran ule wazungu wanauiita ‘off and on.’ Baada ya hivi karibuni kuzinguana tena hadi kumfanya Idris ajiondoe Instagram hadi sasa, wawili hao wanaonesha kuanza kutafuta suluhu. Wema amepost picha hiyo juu Instagram inayoonesha walikuwa wakiwasiliana kutumia app ya Facetime, aliandika: That moment you realise...

Hebu muone GIGY MONEY picha hizi za utata mtandaoni.

   ...

Magazeti ya leo jumapili ya tar 28

                                     ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us